Gwiji wa mpira wa kikapu, Michael Jordan ameongea kuhusu ubaguzi wa rangi uliopo nchini Marekani sasa hivi na amesema atachangia dola milioni mbili kwa ajili ya kusaidia mahusiano mazuri.
Mchezaji huyo wa zamani wa Chicago Bulls, ambaye alikosolewa kwa ukimya wake kuhusu mambo ya kisiasa wakati alipokuwa bado anacheza mpira wa kikapu, hawezi kuendelea kuwa kimya.
Maneneo ya Jordan, yanakuja baada ya Polisi kuuwa Wamarekani wawili wanaume, wenye asili ya Africa, , Alton Sterling na Philando Castile, kwenye miji ya Dallas na Baton Rouge.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment