Kwa kauli hii ni dhahiri mikutano wala maandamano hayajakatazwa ila tu ifanywe na Mbunge au diwani wa eneo husika, siyo mbunge wa eneo X kufanya mambo hayo katika eneo Y.
Japo nimeelewa hivyo bado sijafahamu mustakbali wa vyama visivyo na mbunge au diwani je wao mikutano yao ya hadhara wataifanyaje?
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
0 [disqus]:
Post a Comment