Akizungumza na wananchi wa Manyoni mkoani Singida Rais Magufuli alizungumzia kuhusu wabunge wa upinzani kususia bunge kwa kujiziba midomo na makaratasi
Alisema wabunge hao wa upinzani waliamua kususia bunge kwa sababu kilichokuwa kikijadiliwa ndani ya bunge ni mahakama ya mafisadi na wao (wapinzani) ni sehemu ya mafisadi .
"Hawakuingia kwenye bunge kwa sababu walijua ni part ya hao mafisadi, nataka nieleze hawatapenya mbele ya serikali yangu, mafisadi lazima wanyooke" Alisema Rais Magufuli
Msikilize Hapa:
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Na maraisi waliouachia Ufisadi ungurume Je ni lini utawatumbua. Hawa ndio chanzo. Walikuwaje watawala kwa miaka hii yote. Ukiwatumbua hawa kwanza nadhani kazi itakayobaki ni nyepesi sana. Lakini huwezi kuondo kijiti ukaacha banzi kuu. Ni lazima wote wafyekwe. Kama katiba ya zamani hairuhusu, katiba hiyohiyo inasema Sheria za nchi zifuatwe. Hapa kuna utata mkubwa sana ndo maana Wasomi wanaozichambua sheria zetu ingawa wanakukubalia utumbue kakini sheria zimevunjwa inabidi zote ziwe sawa bila ubanguzi wa cheo cha mtu, jinsia, rangi wala kabila. Hapa kuna makosa.Tumbua wote mpaka maraisi walisababisha wewe uje utumbue. Hapa utakuwa shujaa wa kwanza nchini na wengi watakusapoti.
ReplyDelete