Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Jul 24, 2016
VIDEO: Ni kweli Rais Magufuli Anakataa Ushauri? Mzee Makamba Kafunguka
Jana Mjini Dodoma ulifanyika mkutano mkuu maalum wa CCM ambao ajenda yake kubwa ni ya kumchagua Rais Dk. John Magufuli kuwa mwenyekiti wa tano wa chama cha Mapinduzi ‘CCM’. Baada ya hotuba ya Mwenyekiti wa chama hicho Jakaya Kikwete, katibu mkuu mstaafu Yusuph Makamba alipata nafasi ya kuzungumza:
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Weka Maoni yako Hapa
0 [disqus]:
Post a Comment