Defao ameshindwa kulipa pesa hiyo baada ya kuongeza muda wa kuendelea kuishi kwenye hoteli hiyo ambayo alitakiwa aondoke juzi Alhamisi japo aliomba kuongezewa muda wa siku mbili kuanzia mpaka leo Jumamosi, Agosti 6 ambapo ameshindwa kulipa na kujikuta akishikiliwa kwa tuhuma hizo.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment