“Kuhusu mabadiliko mimi naunga mkono japokuwa watu huwa wanaogopa vitu vipya ila mimi sishituliwi na suala hili jipya, kuhusu mpango wa Simba kuuza hisa naunga mkono lakini asiuziwe mtu mmoja hisa nyingi, kama MO ambaye ameonesha nia ya moja kwa moja auziwe hisa ila sio zaidi ya asilimia 50”
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment