DAR: Mtu mmoja amefariki dunia, baada ya kugongwa na treni eneo la Kamata wakati alipokuwa akijaribu kuidandia ikiwa katika mwendo.
Alidandia treni hiyo wakati ikiwa Kamata Kariakoo kwenda Stesheni akiwa na lengo la kugeuza nalo kwenda Pugu.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment