Mtaalamu mahiri ambaye ametokea kukubalika sana na watanzania ikiwemo vyombo vya habari ametoa kali ya mwaka katika mada zake kupitia Clouds FM pale alipofichua kwamba ikiwa umeishi na mwanaume kwa muda mrefu sana na hujawahi kusikia akipumua (aghalabu kitarumbeta) basi ujue mwanaume huyu ana siri nyingi sana anakuficha na kutopumua (flatulence) ni ishara ya kwamba anazibana siri hizi kama anavyolibana tukio lenyewe
Huyu ni Dr Chriss Mauki
Wanasayansi wengine wamenukuliwa wakisema Holding it in may cause major health repercussions.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
0 [disqus]:
Post a Comment