Sep 11, 2016

Barua ya Wazi Kwa Mwanamuziki Alikiba

Wasalaam wakuu!
Sio siri uzalendo umenishinda haswaa! Yote ni juu ya Alikiba "Kingkiba" Maana mpaka sasa nashindwa kuelewa ni Nani aliyekuroga hadi unaendesha mziki wako kizaman sana.

Uliporudi na "Mwana" ilikuwa ni nyota njema na tumain jipya kwa sisi mashabiki wako dunian kote, Kweli hakuna anayebisha kwamba kuanzia "Mwana, Chekecha Cheketua, Nagharamia mpaka sasa "Aje" umefanikiwa kweli kweli kuzitingisha kuta za mabaazazi na mahafidhina wa Mziki wa Bongflava waliotaka kujimilikisha mziki kwa kujifanya miungu watu, Kwa hilo nakupa pongezi.

Ni ukweli uliowazi kuwa umerudi na Kasi ya "4G" ila ubaya ni 4G inayosoma "H", Alikiba sisi fans wako umeendelea kututesa kwa muda mrefu sana hasa kwa mambo yako unayofanya sisi hayatupendezi kabisa, Nilitaka waraka huu uwe wa siri ila mbinu zote hizo zimeshindikana. Na haya yafuatayo ni miongoni mwa mambo yanayotutesa sisi washabiki zako.

1. UKOSEFU WA COLLABO ZA KIMATAIFA, maana tangu ujinasibu kuwa una collabo na fally pupa na wasanii wengine wakubwa ni miaka imepita, Kweli Alikiba wewe ni wa kutupa collabo za wakina Nuh mziwanda, Abbyskilz, Dayna nyange, ommy dimpoz, Hapa najiuliza target yako hapo ni market ipi? Ali mbona unatutesa kiasi hiki?For How long we gonna wait?

2. PAGE ZAKO KWENYE SOCIAL MEDIA ZINABOA SANA, Mi nachofahamu social media ni sehemu adhimu na muhimu sana ya mafans kuwasiliana na msanii wao, kwa kupata updates mbalimbali, ila kwako hili suala limekuwa kinyume, Acc zako mfano Instagram 70% ya posts zako ni birthday za watu, kazi zako hatuon kabisa ukipost, Pia msanii gani muda mwingine unakaa week nzima bila kupost kitu kabisa, Unataka fans wako wafanyaje?

3.MSIMAMO WAKO KUHUSU TUZO, hapa napo tunashindwa kukuelewa je unataka tuzo au hautaki? Tangu mwaka umeanza tumeshuhudia ukipata nominations za tuzo mbalimbali Africa( Afrimma, UEA awards, Afrima Nigeria, AEUSA,AYCA Awards, African Oscar awards etc) lakin hata siku moja hatujawah kuona ukiripost au kuapreciate hicho kitu, mfano mwezi August ulishinda tuzo 2 za #AfricanOscarChoiceAwards lakini cha ajabu umekausha hadi leo kurepost hicho kitu, hapa sasa tunabaki njia panda, je unadharau waandaaji wa tuzo au sisi fans wako tuliokesha tukikupigia kura? Hapa tunaomba majibu au tupotezee kukusuport kwenye tuzo.

4: UCHELEWESHAJI WA PROJECT ZAKO, Hapa napo Alikiba umekuwa jipu sugu, tunashindwa kuelewa je tatizo ni wewe au management yako? Porojo na ahadi zimekuwa nyingi bila vitendo, Tunahitaji majibu ya kutosha zaidi tunataka tuone tofauti ya msanii wa Sony global music na wasanii wa mchangani

5. USIRI KATIKA MIKATABA NA MALI ZAKO, Hapa napo ndio kumekuwa na jipu sugu lenye ukungu kabisa, Sababu mara nyingi umekuwa ukiulizwa maswala adhimu kuhusu profit unazopata kutokana na mikataba yako ya Sony music na endorsement unazopata kama ubalozi wa Wild aid, ubalozi Jam food nutrition, Mali unazomiliki etc, Lakin umekuwa na kigugumizi kujibu, Mashabiki zako tuna kiu ya kusikia msanii wetu ananufaika vipi na mziki wake, na hili pia ni haki yetu ya msingi. Tuna mengi sana ila kwa leo tuishie hapa.

Imeandikwa na Shardcole

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger