Sep 9, 2016

Rais Magufuli Amemaliza Kazi, Upinzani Sasa Unatapatapa

MaJaribio yote ya Wapinzani kumdhoofisha Rais Magufuli yamegonga UKUTA(siyo UKUTA wa CHADEMA)

  1. Rais Magufuli hana matatizo, tatizo ni mfumo uliomo ndani ya CCM. Ushahidi kuwa Magu kaushinda mfumo uliokuwa unasema nao ni pale weneyewe waliposema "WANAOISOMA NAMBA SASA NI CCM WENYEWE". Hoja hiyo imekufa.
  2. Magufuli alipoanza kazi ya utumbuaji majipu wakasema wenyewe, kwamba anatekeleza ilani ya Upinzani ya kupigana vita ya rushwa na uzembe kazini. Ushahidi wa kwamba Magufuli anatekeleza ilani ya CCM ni kauli zao wenyewe kwa nyakati tofauti: wafanyabiashara waliochangia CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu wanaonewa, Wafanyakazi wanafukuzwa kazi bila kupewa nafasi ya kujitetea, wanahoji kwanini wafanyakazi waliosimamishwa kazi bado wanalipwa mishahara kwa nini? wanasahau kuwa walisema wanaonewa n.k
  3. Baada ya kuona Upinzani unatoweka machoni na masikioni mwa Watanzania kutokana na Serikali ya awamu ya tano kutekeleza dhana nzima ya HAPAKAZITU kwa vitendo, wakaja na maneno chungu nzima , hoja ya msingi ambayo hata mimi nilion ni SIASA NI AJIRA wakiwa na maana kwamba wasipofanya siasa watakufa njaa. Kutaka kuhalalisha hoja yao ya SIASA NI AJIRA na kwa kutaka kuondokana na aibu hiyo ya kulilia ajira ya kufanya siasa wakaja na porojo kwamba rais ni Dikteta. Ndipo wakaamua KUJISHIKISHA UKUTA ambao hata hivyo wananchi walipuuza na kuwafanya wakimbilie KUBADILI GIA angani kwamba wameombwa na Viongozi wa dini na wadau wengine wasitishe hadi Oktoba mosi. Taarifa zlizopo ni kwamba MBowe alitangaza kusitisha UKUTA siku moja kabla ya siku ambayo Viongozi wa dini walipanga kukutana kutoa tamko la kulaani UKUTA. Mpaka leo hakuna MDAU wa KIONGOZI wa dini amejitokeza kusema ni kweli walikutana na Mbowe kuomba wasitishe UKUTA zadi ya tamko la Mwenyekiti wa NCCR Mageuz, James Mbatia kuwa Viongozi wa dini waliwaomba Wabunge wa UKUTA warudi Bungeni, Ombi la Wabunge wa UKAWA kurudi Bungeni na UKUTA wapi na wapi? wanatapatapa tu.
  4. Sasa kinachofanyika ni kuwatumia watu mbalimbali ndani na nje ya nchi kuwashambulia viongozi wa serikali na serikali za yake, kuzusha mambo ya uongo dhidi ya serkali, kutumia maneno ya upotoshaji kwa wananchi. Mfano ni uzushi wa kutokuwepo kwa mahusiano mazuri kati ya Tanzania na nchi nyingine kama vile kenye, kutokuwepo wa mahusiano mzuri baina ya viongozi wetu wa kitaifa. Mbaya kabisa upotoshaji huu umekwenda mapaka Bungeni, Mbunge anasimama na kusema kila mtanzania anadaiwa kiasi fulani cha fedha(HONGERA sana kwa Waziri Wa Mambo ya ndani kwa kuwaweka bayana Watanzania kuhusu hilo).
Mambo mengi Wapinzani watayasema kuhusiana na serikali ya awamu ya tano, lakini bahati nzuri wenyewe wanjaua Wananchi wanajua na Dunia inajua kuwa porojo, Propaganda, Uzushi, Matusi, fedheha na dhihaka kwa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na rais Dr. John Pombe Magufuli ni jitihada zao tu za kuifanya SIASA IONEKANE NI AJIRA kwani bila mbinu hiyo watapotea ndiyo maana WANATAPATAPA.
WATANZANIA TUFUNGUE MACHO, TUTEGE MASIKIO, TUNUSE, TUZIFANYE NGOZI ZETU ZIHISI HAWA MAADUI AMBAO WANATAKA KUWATUMIA HAWA WANASIASA KUDHOOFISHA HIZI JUHUDI ZA MAGUFULI.

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger