Serikali yatangaza sheria zote zitakazotungwa nchini kuanzia sasa zitakuwa kwa lugha ya Kiswahili ili kuwawezesha wananchi wengi kuzielewa.
Uamuzi huo unakwenda sambamba na kuzitafsiri sheria zote zinazotumika nchini ambazo ziko katika lugha ya Kiingereza.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment