Spika wa Bunge Job Ndungai |
Amewaasa wajifunzi kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) jinsi wanavyoshughulikia nidhamu za wabunge wao ambao wanaenda kinyume na maamuzi ya chama. Ni CCM pekee ambayo haijawahi kumvua mbunge uanachama kwa kutofautiana na Uongozi. Hivi majuzi CUF imewafutia uanachama wabunge wake Sakaya na Maftah,katika Bunge lililopita Hqamad Rashid alifutwa uanachama akaelekea mahakamani, CHADEMA walimfukuza Zitto Kabwe na NCCR-Mageuzi walimfutia uanachama David Kafulila kabla ya kufanya usuluhishi.
Ndugai katoa somo na kwa tabia hii ni dhahiri viongozi wa vyama vya upinzani hawataki kukosolewa,wanakumbatia usultani na ufalme.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment