Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam ofisa mwandamizi wa masoko wa DSE, Mary Kinabo amesema kuwa mauzo hayo yameshuka kutokana na ukubwa wa mtaji wa soko kushuka kwa asilimia 2.79 kutoka Sh 21.3 trilioni kufikia Sh 20.7 trilioni.
Mary amesema kuwa ukubwa wa mtaji kutoka kampuni za ndani umebaki kwenye kiwango kile kile cha Sh 8.2 trilioni kutoka wiki iliyopita.
Chanzo: Mwananchi
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment