Rudy Giuliani amesema kuwa Trump na Hillary wana maswala katika maisha yao ya kibinafsi ambayo ni ya aibu.
Alikuwa akijibu hisia kali zilizojiri dhidi ya Trump baada ya madai ya kuwatusi wanawake.
Bwana Trump amepoteza uungwaji mkono wa zaidi ya viongozi 20 wa chama cha Republican ,wengi ambao wanamtaka ajiondoe katika kinyang'anyiro cha urais baada ya kuzuka kwa rekodi za muongo mmoja ambapo amekuwa akijisifu kuwatumia kimapenzi wanawake
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment