Oct 19, 2016

Hakuna Siku Nimejisikia Uchungu Mkubwa Kama Jana, Kwasababu Nafahamu Historia ya Mradi wa Hospitali ya Mama na Mtoto

Hakuna siku nimejisikia uchungu mkubwa kama jana, kwasababu nafahamu historia ya Mradi wa Hospitali ya Mama na Mtoto, na nimeshiriki katika hatua mbalimbali za ujenzi wa maono haya.

Lema alikuwa na ndoto hii kwa muda mrefu, na aliitangaza hadharani katika kampeni zake na CCM walimdharau na kumuona kichaa, na wakati mwingine Lema alikuwa akisema, CCM wakiendelea kumuudhi na kumkejeli na ndoto hiyo, ataijenga hiyo hospitali na ataiwekea na swimming pool mithili ya hotel.

Muda ukafika Lema kupitia ushawishi wake na timu yake wakafanikiwa kupewa kiwanja na Mawala Trust, na siku ya makabidhiano nilikuwepo, na hakukuwepo kiongozi yeyote wa Serikali, Mgeni rasmi alikuwa Mh. Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chadema.

Hii inaonesha wazi kabisa Mawala si tu walikuwa na moyo wa kusaidia watu wa Arusha kupata Hospitali ya kusaidia akina mama na watoto, pia walionesha mapenzi ya wazi kwa Chadema, kwa kukabidhi kiwanja hicho chini ya Ugeni Rasmi wa Mwenyekiti wa Chadema taifa.

Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutafuta udhamini wa ujenzi wa Hospitali hiyo kitu ambacho watu wa Arusha tulisema hata kwa michango binafsi tutaweza kuchangia ujenzi wa hospital hiyo, lakini Mh. Mbunge kwa ushirikiano na taasisi yake ya Arusha development Foundation (ArDF) waliendelea kutafuta wahisani hadi walipokutana na watu wa Maternity Afrika ambao waliingia nao mkataba wa kujenga Hospital hiyo kwa thamani ya Bilioni 9 za Kitanzania.

Hatua ya aibu ni ya leo ambayo huyu anayejiita mkuu wa mkoa kutaka kwa makusudi kuharibu kazi nzuri iliyofanywa kwa miaka mingi bila msaada wowote wa serikali, kisa ameitwa tu kuiwakilisha serikali kama mgeni rasmi, tena Lema akiwa hana shida yoyote ya uwepo wake.

Aina hii ya viongozi hawawezi kutufikisha kwenye nchi ya viwanda anayosema Magufuli. Wamejaa ujinga wa kichama na wanafikiria muda wote ni muda wa kufanya siasa na kutweza kazi nzuri zinazofanywa na wapinzani.

I find this to be the highest level of stupidity I have ever seen in a leader. It is so sad indeed.

Vielelezo vya picha vipo hapo, na katika hatua zote hizi muhimu hajawahi kuwepo kiongozi wa serikali hii ya CCM, hadi Leo ndo wanajitokeza na maelezo yao binafsi yasiyo na mkia wala kichwa.

By Emma



Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

1 comment:

  1. Na hiyo lugha aliyoitoa hapo ni ya kiongozi au mwakilishi wa watu??? Angalau RC kaonyesha busara ya kutoropoka upuuzi ati mtu yeyote anayepingana au kupishana na Lema basi JPM humpandisha cheo
    Ukisoma barua ya mwaliko kwa mgeni rasmi ambaye ni RC ni ishara ya wafadhili kuitambua serikali kitu ambacho Lema na chadema siku zote wamekuwa wakimimina matusi kwa lolote ni wazi kwa akili ya Lema hata kama ni raisi angekuwa ndo mgeni rasmi angeropoka vilevile
    Ni aibu sana

    ReplyDelete

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger