Oct 28, 2016

Napongeza Maoni Gazeti la Mtanzania kuhusu Habari ya Tukivitaka vyama vingi tuheshimu utamaduni wake

Katika gazeti la Mtanzania toleo la jumatano October 26 2016, Sehemu ya maoni ya mhariri ilikuwa na kichwa kikisomeka "TUKIVITAKA VYAMA VINGI TUHESHIMU UTAMADUNI WAKE". nimeguswa na maoni ya mhariri kwa sababu nyingi sana, mhariri mambo mengi aliyotaja anglau kwa ufupi ni kuwanyima vyama shindani sehemu za kufanyia mikutano mwaka jana wakati wa uchaguzi e.g uwanja wa taifa na Jangwani, ukiukaji wa makusudi wa CCM kama kupitisha muda wa kufanya mikutano, kuwawekea restrictions ya kutembea mahali fulani wagombea wa vyama shindani wakati wa uchaguzi, figisu za uchaguzi wa mameya wa kinondoni na Ubungo, n.k. mhariri anamaliza kwa kushauri kwamba kuwapo kwa mfumo wa vyama vingi si kuwapo kwa vyama tu bali pia kuheshimu misingi yake, haki na utamaduni wake wa kushindanisha hoja bila kupigana.

Mimi binafsi nilitamani mhariri aendelee kudadavua zaidi lakini kwa kuwa safu yake ni fupi aliishia hapo. Mimi nitaongezea alipoishia, Ni takribani miaka ishirini toka tuingie katika mfumo wa vyama vingi lakini watu na taasisi bado zinaonyesha "ushamba" wa kisiasa wa hali ya juu, ushamba huu unaweza kuwa wa kujitakia "willful ignorance" au wa mifumo mibovu tiliyojiwekea. nikitoa mifano ya yanayotokea sasa hivi taratibu na sheria tulizojiwekea zimekuwa hazifuatwi, madiwani kila siku wanawekwa ndani na wakuu wa wilaya na mikoa kumpendezesha "mkulu" maana ndo imekuwa ngazi ya kupanda vyeo, polisi wamekuwa wakitumika ndivyo sivyo. Miradi mbalimbali ya maendeleo haipelekwi katika sehemu amabazo UKAWA walishinda ili kuwakomoa. Kwa mfano mkoa wa Arusha mkuu wa mkoa amesimamisha shughuli zote za maendeleo na ndiye anafanya kazi kama mkurugenzi. Mkurugenzi aliyepo amebaki kujipendekeza na kuonekana kama bulldog, ukiukaji huu wa taratibu si tu unaonyesha ignorance ya mfumo wa vyama vingi bali pia unakiuka haki stahiki za watu ambao wanalipa kodi bila kujali itikadi. Kwa maana nyingine tunaendesha nchi kwa ubaguzi wa maeneo kisa hawaamini kile ambacho wewe unaamini, utamaduni huu ni utamaduni wa kigaidi, magaidi ndo wanataka lazima uamini wanachoamini wao ndo utaweza kuishi. Kma hivyo ndivyo watu wataupinga kwa nguvu zote ugaidi huu.

Ningeweza kuendelea zaidi lakini sitaki kuwachosha wasomaji labda na mimi nitoe maoni yangu kwamba tunahitaji kuanza upya mfumo wa vyama vingi, watu na taasisi nyingi zinahitaji kufanyaiwa capacity building. Kwa bahati mbaya wakati tunaanzisha vyama vingi taasisi nyingi hazikufanyiwa capacity building as a result hawajui namna ya kufanya kazi under multi party democracy. Kwa mfano jeshi la polisi linahitaji kufundishwa upya kwamba chini ya mfumo wa vyama vingi wanatakiwa kufanya kazi namna gani, wakuu wa mikoa na wilaya wanatakiwa wa-behave nanma gani n.k

Nawasilisha wakuu

Emalau



Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger