Magari hayo mawili ambayo baada ya shughuli za kutwa huegeshwa kando ya nyumba zilizoharibika, yanatumiwa na mapadri wanne kulala huku wafanyakazi wengine wakipata hifadhi kwenye majengo machache yaliyonusurika.
Akizungumzia adha hiyo, Paroko wa Kanisa hilo, Padri Philbert Mutalemwa alisema tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi na kuharibu kanisa la kihistoria la Kashozi na nyumba za mapadri, wao waliamua kulala kwenye magari.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment