Oct 29, 2016

Ole Sendeka, Walipeni Uhuru Mishahara Kwanza, Achaneni na Zitto na Lowassa

Nimesikiliza Video inayosambaa kwa Kasi Mtandaoni inayomuonyesha Karani na Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka akiwatuhumu Edward Lowassa wa CHADEMA na Zitto Kabwe kiongozi wa chama wa ACT WAZALENDO.

pamoja na kumsikiliza zaidi ya mara tatu lakini sipata kuelewa alikuwa anajaribu kumaanisha nini.?.

na kama ndio msemaji wa chama kinachotawala nchi anaweza kuwa na kiwango cha uelewa wa aina ya Sendeka basi sitashangaa kuona nchi ya Viwanda ikipatikana mwaka 3000.

sendeka anawataka LOWASSA na Zitto wamsifie Magufuli, hajasema kwa Lipi?,

Sendeka anamtaka Zitto aisifie CCM, ili apate nini?, kwanini Sendeka asiendelee tu kuisifia CCM inayompa Ugali baada ya Kushindwa ubunge Simanjiro?.

Zitto Kabwe sio KARANI wa CCM kama Sendeka, zitto ni Kiongozi wa chama cha siasa kinachojitegemea, ni chama kama anachokiwakilisha Sendeka chenye mwenyekiti wake MAGUFULI.

Zitto Kabwe sio Msemaji wa Serikali ya CCM, Zitto na ACT WAZALENDO tumeweka Wazi kabisa, kwamba Tunaupinga Ujinga popote ulipo, Ikiwa Ujinga wa CCM unashabihiana na ulio nje ya CCM tutaupinga kwa nguvu ileile.

sio wajibu wa ACT kuisifia CCM, MAGUFULI na SERIKALI yake, tutaipongeza itakapofanya vema na tutaikosoa itakapoboronga. sisi kwetu nyekundu ni nyekundu na njano daima huwa njano.

Sendeka aliyekuwa analilia Demokrasia, Utawala wa Sheria na Usimamizi wa Sheria za Manunuzi leo ameufyata kabisa.

#Sendeka aliyesimama Bungeni Kipindi cha Richmond na Kumshambulia Lowassa kwa kutokufuata sheria za manunuzi, leo anamshangilia Magufuli kwa kufanya madudu yaleyale - kweli njaa haina Baunsa.

kwanini umekubali kuwa Mnafiki kiasi hicho?, kwanini usikisaidie chama chako cha mapinduzi kutatua kero za watumishi wake?.

SENDEKA, nakukumbusha kuwa Pamoja na CCM kupokea RUZUKU ya MILIONI 960 lakini leo ni mwezi wa TISA mfululizo hakijawalipa Mishahara WAANDISHI NA WATUMISHI wa GAZETI LA UHURU.

Mwenyekiti wenu wa chama alikwenda akaahidi kuwalipa mwisho wa mwezi uliopita, lakini mpaka leo wanalala na njaa vijana wa watu.

Sendeka wasemee wafanyakazi wa UHURU walipwe mishahara yao achana na Zitto, achana na LOWASSA.

Sendeka Msaidie Mwenyekiti wako Kujenga hata Msingi wa kiwanda cha Rangi za Kucha, achana na Zitto achana na Lowassa.

Sendeka wasaidie watumishi wa Serikali wawezeshwe, leo tunavyozungumza, baadhi ya Ofisi za umma hazina hata mafuta ya magari ya kazi, wote wanaogopa hata kuomba pesa za uendeshaji wa ofisi, wanaishia kusoma magazeti tu,

SENDEKA, Bunge limeshindwa kutoa Photocopy Muswada wa Sheria ya Habari kwa kukosa pesa za kufanyia kazi yake, umekaa kimya.

SENDEKA isaidie CCM kuueleza Umma lini SERIKALI YA MAGUFULI itaacha kuwalipa MATAPELI WA IPTL milioni 400 kila siku ama wamezalisha umeme au hawajazalisha, achana na Lowassa achana na Zitto.

SENDEKA wasaidie kuwajuza wanachama wa CCM kuhusiana na Mali za chama hasa mtambo wa kuchapia magazeti mliouuza kwa kupima Kilo kama SCREPA, Achana na Lowassa achana na zitto.

Tunaikosoa CCM, tunaikosoa Serikali ya CCM, Tutamkosoa Magufuli kwa Hoja na Tutampongeza kwa kila zuri atakalofanya.

SENDEKA na CCM hamna mamlaka ya kuwafundisha ama kuwachagulia wapinzani nini cha kufanya ama nini cha kusema wakati gani na wapi.

Ndimi
Habib Mchange
Katibu wa Bunge na Serikali za Mitaa
ACT WAZALENDO

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger