Oct 27, 2016

Sauti: Simulizi ya Kusisimua ya Kijana Aliyezaa na Kufunga Ndoa na Dada yake wa Damu

Kipindi cha Ubaoni cha EFM kimekuwa kikipata mikasa mingi ya maisha ya kusisimua kupitia sehemu yake ya ‘Ripoti.’ Hivi karibuni walikuwa na simulizi ya kijana kutoka Sumbawanga aliyekuja Dar es Salaam kumtafuta baba yake mzazi baada ya mama yake kushindwa kumsaidia ampate.

SEHEMU YA KWANZA YA SIMULIZI



Katika mihangaiko mingi kufanikisha azma yake jijini Dar, alikuja kukutana katika mazingira ya bahati tu na msichana anayetoka kwenye familia ya kitajiri inayoishi Masaki ambapo alisahau vitu vyake vya thamani lakini akavitunza na kuja kumkakadhi.

Wawili hao walijikuta wakipendana na msichana huyo kupata ujauzito ndani ya kipindi kifupi tu cha uhusiano wao. Hatua hiyo iliwafanya wafikirie kuurasimisha uhusiano wao kuwa ndoa.
Baada ya mazungumzo mengi katika familia ya msichana, kijana huyo naye alimuita mama yake kutoka Sumbawanga aliyefikia kwenye familia hiyo kwaajili ya kikao cha wazazi kupanga taratibu za ndoa. Kutano la mama yake na baba mkwe wake lilibadilisha hali ya hewa katika nyumba hiyo kwa kilichotokea.

Kijana huyo anasimulia kuwa mama yake alimuita jina baba wa msichana huyo na kusababisha mshtuko mkubwa.

“Kumbe yule baba mkwe wangu ni mzazi ambaye nilikuwa nikimtafuta kwa muda mrefu, ndiye baba yangu mzazi na ndiye yule aliyekuwa akiishi kule Namanyele akaja huku mjini kutafuta maisha na akaja akapata mke mwingine, akapata maisha yake hayo mazuri akazaa watoto wengine ambao ndiye mwanamke niliyempa ujauzito na ndiye mtoto wake wa pili yule nilisaidiana naye kule polisi,” amesimulia.

SEHEMU YA PILI YA SIMULIZI



Anasema baada ya kufahamika ukweli huo mchungu, nyumba iligeuka kuwa ya vilio na mshtuko wa aina yake.

“Baba yangu pia analia kwa huzuni, hali imekuwa tafrani pale nyumbani haiwelewi. Kiukweli ikawa ni vilio, mimi nalia, mchumba wangu analia, mama, mama mkwe naye analia kwasababu limekuwa jambo la aibu pia kwamba mimi na yule mchumba wangu ni mtu na dada yake kabisa,” ameongeza.

Anasema ilichukua muda hadi hali ikatulia na wazazi wakaomba wapewe muda wa kujadiliana. Baada ya mazungumzo, baba yake alimuomba radhi mwanae kwa kumtelekeza, aliiomba pia radhi familia yake kwa kuwaficha kuwa alikuwa na familia nyingine.

Baba aliwasihi wana familia waitunze siri hiyo isitoke nje na kumtaka msichana akautoe ujauzito ili waanze kuishi kama kaka na dada. Anasema haikuwa rahisi wote kuukubali uamuzi huo kwakuwa uhusiano wao ulikuwa umechukua muda mrefu na walikuwa wanapendana sana.

Hali hiyo iliendelea kuwasumbua na kuwapa huzuni kubwa wasijue la kufanya. Anasema siku moja walienda kanisani na aliamua kusimulia mbele ya kanisa kisa kizima na mchungaji kueleza kuwa hayo ni makosa ya wazazi wao na kwamba kiumbe kilichokuwa tumboni hakipaswi kukatishwa maishja. Mchungaji pia aliamua kuwafungisha ndoa hapo hapo mbele ya kanisa na hadi leo wanaishi kama mume na mke.

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger