Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Oct 30, 2016
Video & Picha: Basi la Abiria Lateketea Kwa Moto Vituo 4 Kabla ya Kuingia Ubungo, Dar
Basi lenye namba za usajili T990 AQF la kampuni ya Safari Njema liililokuwa likitokea Dodoma kuja jijini Dar, limeteketea kwa Moto maeneo ya Kimara Stop Over-Suka,mara baada ya kugongana na Lori lililokuwa limebeba shehena ya mifuko ya Cement (namba zake za usajili hazikujulikana mara moja),jioni ya leo,Inaelezwa kuwa mali zote zilikowemo katika basi vimeteketea kabisa kwa moto,hali ya abiria waliokuwemo ndani ya basi hilo tutawaleta taarifa kamili itakayotolewa na Jeshi la Polisi.
VIDEO:
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Weka Maoni yako Hapa
0 [disqus]:
Post a Comment