Kwa cheo chake cha ukuu wa mkoa, Makonda ni mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ambayo kipolisi Dar es Salaam ni kanda ikiwa na mikoa mitatu ya kipolisi; Kinondoni, Ilala na Temeke.
Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa kituo cha uboreshaji huduma za umeme juzi, Makonda alisema kuna kikundi cha watu kumi wanaojishughulisha na biashara ya kilevi cha shisha ambacho kilienda ofisini kwake kumshawishi awaruhusu waendelee na biashara hiyo na kwamba kila mwezi wangempa Sh5 milioni kila mmoja.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment