Uchanguzi mkuu ulistahili kufanyika mwezi huu ambapo wapiga kura nchini DRC walistahii kupiga kura mwezi huu kumchagua mrithi wa Rais Kabila, wakati wa kumalizika kwa muhula wake wa mwisho.
Makubaliano hayo yameongeza hatamu ya uongozi kwa Joseph Kabila.
Ni siku tatu tangu waziri mkuu nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Augustin Matata Ponyo, kujiuzulu na kutoa fursa ya kuteuliwa mrithi wake kuongoza serikali ya mpito.
Baraza lote la mawaziri lilijiuzulu pamoja na bwana Ponyo.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment