Lilikuwa ni tukio la kipekee kwa kuwa historia haionyeshi kama Rais wa Zanzibar aliwahi kusaini sheria mbele ya viongozi mbalimbali wa chama na Serikali, huku likionyeshwa moja kwa moja kwenye televisheni.
Kuonyesha kwamba utiaji saini huo una baraka za Serikali ya Muungano, tukio hilo lilihudhuriwa na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment