Lema amesota rumande kwa siku 13 ambazo ni sawa na saa 312.
Mbunge huyo amekuwa kwenye msukosuko wa kisheria na Jamhuri iliyomshtaki kwa tuhuma za kutoa maneno ya uchochezi na mapema wiki hii alipewa dhamana ambayo haikufanikiwa baada ya mawakili wa Serikali kuwasilisha taarifa ya kusudio la kukata rufaa kabla ya hakimu kuruhusu kutekelezwa kwa utaratibu wa dhamana.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment