Wizara ya maswala ya kigeni imesema kuwa mahakama hiyo imeshindwa kutimiza mahitaji na haijawahi kuwa huru.
Imesema kuwa haifurahii uchunguzi wa ICC unaondelea kuhusu vita vya muda mfupi kati ya Urusi na Georgia miaka minane iliopita,ikisema kuwa mahakama hiyo ilipuuza uchokozi wa Georgia .
Wiki hii mahakama hiyo imetaja matukio ya mwaka 2014 katika eneo la Crimea kama vita kati ya Urusi na Ukraine,hatua inayomaanisha kuwa eneo hilo sasa litasimamiwa na mahakama ya ICC.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment