Lema ana ari kubwa ya mapambano. Anasikitishwa sana na ukiukwaji mkubwa wa haki na mahakama kuonekana kuendeshwa na Serikali. Yeye ameona ni bora akae ndani mpaka hapo dola itakapopenda kumpa dhamana. Kosa lake lina dhamana na hakimu alimpa dhamana.
Ameomba tutazame mahabusu wengi wanaokaa ndani miaka mingi bila kesi zao kuendelea. Tuwatetee.
Amemshukuru Mungu Kwa kumpa mke jasiri anayempa moyo na ndio ngome yake kwa sasa.
Nimemwomba Lema aone kuwa hii struggle sio yake peke yake bali anawakilisha watu wengi wanaotaka haki kutendeka katika uendeshaji wa nchi yetu. Siku zote haki hushinda.
CHANZO: Maandishi Genius
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Wote wagonjwa hao na mtaisoma namba tu na hizo siasa zenu za matusi na bado sufuria inaanza kuchemka vikiwiva mtapakuliwa mule njaa zenu ziishe GOOD
ReplyDeleteSiasa gani hizo
Wanao haribu au kuwakilisha vibaya Chadema ni hao hungry faces watatu Lissu, Lema na Mdee siku hizi katulia kidogo na Kubenea,,, Ati hao ndio "MAKOMANDO" Upuuzi mtupu,, poleni sana
m.v.z.cj.
ReplyDelete