Leo November 25, 2016 Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Ndege Tanzania ATCL chini ya Mwenyekiti wa Bodi Mhandisi Emmanuel Korosso, imetoa maagizo ya kuondolewa kwa wakurugenzi wa idara tano katika menejiment ya ATCL na huku ikimbakiza Mkurugenzi Mtendaji Ladslaus Matindi.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi mtendaji, wakurugenzi walioondolewa kwenye idara ni pamoja na Mkurugenzi wa Biashara, Mkurugenzi wa Ufundi, Mkurugenzi wa Oparesheni, Mkurugenzi wa Fedha na Mkurugenzi wa Usalama na kwa upande wa wafanyakazi wengine shirika linaendelea kuwafanyia mchujo.
Taarifa kamili ipo hapa. Bonyeza play kutazama.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment