Rais Magufuli ni rafiki wa Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Benjamin Mkapa anamiliki mashamba ya Miwa ya kutengeneza Sukari. Mkapa anahofia iwapo Sukari itaagizwa kutoka nje, basi miwa yake itakosa soko. Bila shaka alienda Ikulu siku ile kumuomba afute vibari vya Sukari kutoka nje.
Sasa Sukari imeadimika watu wamemuacha Rais peke yake akihangaika. Ama kweli Rais anashauriwa Vibaya
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
This comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDelete