Siku chache baada ya Rais John Magufuli kutangaza kutaifisha sukari itakayokamatwa kutoka kwa wafanyabiashara wanaoificha na kuiingiza nchini kinyume cha sheria, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), jana iligawa kwa taasisi 31 za mkoa wa Lindi mifuko 5,319 ya bidhaa hiyo iliyokamatwa mkoani humo, Februari Mosi, mwaka huu.
Nini maoni yako?
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
0 [disqus]:
Post a Comment