Katika kesi hiyo, Yusufali anatarajiwa kuunganishwa na mfanyabiashara maarufu jijini Arusha, aliyetajwa kwa jina la Samweli Lema, ambao watasomewa mashtaka yanayowakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Yusufali na Lema walifikishwa mahakamani hapo jana alasiri na Takukuru ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru),kwa lengo la kupandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka yanayowakabili
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment