Kumekuwepo vitendo ambapo wanaume na wanawake hulipia kwa ajili ya kuwaangalia vijana wadogo wanaofanya ngono na wanyama.
Vijana hao wadogo wa kiume na kike hupatiwa mafunzo kwa ajili ya shughuli hiyo kutokana na hali ngumu ya maisha inayosababishwa na umasikini.
Mmoja wa mashuhuda wa vitendo hivyo vya udhalilishaji anasema vijana hao kabla ya kufanyishwa ngono na wanyama, hutumia madawa ya kulevya na baada ya kulewa hupewa dakika zisizozidi 20 kufanya ngono na wanyama na kupatiwa malipo kiduchu. Jambo linalosikitisha na baya zaidi ni kwamba vijana hawa wa kike na kiume umri wao ni kati ya miaka 8 hadi 17.
Kila ninapofikiria jinsi wanaume na wanawake wanavyolipia kwa ajili ya kuangalia hii laana huwa nashindwa kuelewa utu wao. Je, ingengukwaje kama vijana hawa wangekuwa watoto wao?
Nashindwa kuelewa kabisa hii ni aina gani ya biashara inayodhalilisha watoto – alisema shuhuda huyo.
Wanyama wanaotumika sana katika vitendo hivyo ni mbwa ila sababu ya kwa nini wanawatumia wanyama hao haikufahamika.
Chanzo: standardmedia.co.ke
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment