Waziri Nape Nnauye kwenye exclusive akititupa ufafanuzi ambaye anasema…
’Sijazuia vyombo vya habari kuripoti maandamano na mikutano lakini ukiripoti uchochezi na wewe unakuwa sehemu ya uchochezi‘
‘Lakini haiwezekani yanatolewa matusi ya nguoni alafu yakaripotiwa eti kwakuwa yamesemwa na mtu, chombo hicho hakitabaki salama‘
‘Kwamaana hiyo vyombo vya habari visishiriki kuripoti habari za uchochezi nilazima watumie akili ili wasiwe sehemu ya uvunjifu wa amani‘
Ni adhabu gani zitatolewa kwa mwandishi ama chombo kitakachoripoti uchochezi? Waziri Nape kafunguka tena ‘Adhabu zitolewazo kwa vyombo vinavyoripoti uchochezi ni pamoja na kufutwa kabisa katika orodha ya vyombo vya habari‘
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment