Kwa mantiki hiyo, Nigeria chini ya nahodha wake John Obi Mikel itacheza na Ujerumani ambayo mapema iliichabanga Ureno 4-0.
Mechi hiyo itafanyika katika uwanja wa Fonte Nova huko Rio de Janeiro.
Mikel, kiungo wa Chelsea, aliwapa Nigeria bao la kwanza dakika ya 16 ya mchezo baada ya Imoh Ezekiel kupiga krosi maridadi.
Nigeria ingeweza kwenda mapumziko ikiwa na zaidi ya bao hilo mashuti ya washambuliaji wake hayakulenga lango.
Huku wakilisakama lango la Denmark, vijana hao wa Afrika walipata kona iliyochongwa na Mikel Obi katika dakika ya 59, ndipo Aminu Umar alipoiunganisha kimiani moja kwa moja akitumia kichwa.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment