Aug 8, 2016

Zitto Kabwe Atoa Neno Kuhusu Siku ya Wakulima..Adai Ilani ya ACT Wazalendo ilikuwa Bora zaidi Kuhusu Kilimo


Leo ni siku ya Wakulima Tanzania. Chama chetu cha ACT Wazalendo kilikuwa na ilani bora zaidi kuhusu Kilimo kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 ( chanzo: Taarifa ya Waangalizi wa Uchaguzi na Muungano wa Wakulima MVIWATA ). Tujikumbushe ACT Wazalendo tulisema nini?

Malengo

Shabaha ya muda wa kati ni Kilimo kuingiza Fedha za kigeni USD 2bn ifikapo mwaka 2025.

Shabaha ya muda mrefu ni kuuza nje Sukari na Mchele, kuongoza duniani kwa kuuza nje Katani na bidhaa za Katani, kuongoza Afrika kwa kuuza nje Korosho zilizokobolewa na Kila Mkulima wa Tanzania kuwa na Hihadhi ya Jamii

Maagizo ya Kisera kwa Serikali

1. Kufanya Kilimo kuwa shughuli Kiongozi katika kutokomeza umasikini nchini
2. Kuanzisha Fao la Bei ( price stabilization ) na Bima ya Mazao na Mifugo katika Mfumo wa Hifadhi ya Jamii
3. Kuendesha Kilimo kwa njia ya ' shamba kubwa katika mashamba madogo madogo ' ( integrated production schemes ) kwa kumilikisha wakulima Ardhi iliyobinafsishwa kwa wawekezaji na kuanzisha ' outgrowers scheme ' kuzunguka Mwekezaji mkubwa
4. Kuweka Mfumo wa kodi unaoeleweka na usiotetereka ( stable agro fiscal regime )
5. Kuanzisha Mamlaka ya Kilimo itakayosimamia Mazao yote, kuvunja bodi za Mazao na kuwa Msimamizi ( regulator ).
6. Kuanzisha Soko la bidhaa ' commodities exchange ' na kuondoa kabisa watu wa Kati ( middlemen )
7. Vyama vya Msingi vya Ushirika kuagiza wenyewe pembejeo moja Kwa moja kupitia Shirika la Umma maalumu Kwa ajili hiyo.

Kura zetu hazikutosha kuunda Serikali. Serikali iliyochaguliwa inataka Viwanda kuwa Sekta Kiongozi katika kuondoa umasikini. Ushauri wetu kwa waliounda Serikali ni kwamba bila kuongeza uzalishaji na tija kwenye Kilimo sekta ya Viwanda haitakuwa na maana yeyote. Sekta Kilimo inapaswa kubakia kuwa sekta Kiongozi katika mapambano dhidi ya umasikini na sekta ya Viwanda na Kwa kuanzia Viwanda vya bidhaa za Kilimo kuwa ni kiungo muhimu. Mchumi Jorgenson anasema, ninanukuu kimombo ".... There must be a more balanced development of both the agricultural and industrial sectors without which overall economic growth would grind to a complete halt....."

Ilani ya ACT Wazalendo 2015 inasema " ili kujenga uchumi shirikishi na kutengeneza Taifa linalofanya Kazi ( a working nation ) ni muhimu kufanya jitihada za makusudi katika kuhakikisha kwamba Kilimo kinaanza kuchangia vya kutosha katika ukuaji wa uchumi". Ikumbukwe kuwa mwaka 2015 Kilimo kilikua kwa kasi ya asilimia 3.3 tu ilhali sekta hii inapaswa kukua kwa wastani wa kati ya asilimia 8 - 10 Kwa muongo mmoja ili kuwezesha Nchi kutokomeza umasikini.

- Tanzania bado inaagiza Sukari kutoka nje licha ya mikwara kuku ya Serikali ya Awamu ya Tano
- Tanzania bado ina Wakulima wa Mpunga ambao Mpunga wao unaoza ndani Kwa kukosa Soko Kwa sababu ya Mpunga kutoka Vietnam na Pakistan uliozagaa nchini
- Tanzania inapata USD 700m tu Kama Fedha za kigeni kutoka mauzo ya bidhaa za Kilimo nje
- Wakulima wameambiwa na Serikali wajitafutie pembejeo Serikali haina hela ya kuagiza
- Wakulima wamezuiwa kuuza nje bidhaa zao wakati ndani hakuna Soko
- Licha ya mikwara mbuzi, bado Ardhi imehodhiwa na wawekezaji wachache na Wakulima kukosa Ardhi ya kulima na kuendelea kukodishiwa
- Juhudi za kuanzisha commodities exchange zimefia njiani na wachuuzi wanaendelea kuwanyonya Wakulima

Wakulima amkeni.

Zitto Kabwe
Siku ya Wakulima 2016


Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger