Nchemba |
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Nchemba alisimama kumjibu Mbowe…
’Kwanza hakuna siku watanzania watagongewa milango wakigawanywa deni hilo la taifa, hakuna utaratibu wa taifa lolote kupima deni kwa kuangalia ujazo wa watu‘ -Waziri Nchemba
‘Lazima mjue kwamba serikali huwa haikopi kwa ajili ya matumizi ya kawaida bali serikali hukopa kwa ajili ya maendeleo ambayo itazalisha na kulipa deni hilo’ –Waziri Nchemba
Video yote nimekuwekea hapa chini..
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment