Said Ally amechukuliwa Jumatano hii nyumbani kwake na gari ya mkuu wa mkoa na kupelekwa moja kwa moja katika hospitali hiyo.
Makonda ameandika kwenye Instagram, “Nawashukuru madaktari bingwa kutoka hospitali ya Muhimbili, kwa kazi kubwa wanayoifanya kumsaidia ndugu yangu Said Ally Mrisho apate kuona tena, nawaomba tuendelee kumuombea”, aliandika Makonda.
Mkuu huyo wa mkoa, amejitolea kumsaidia kijana huy
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
pole sana Said kwa yalyokukuta. M/Mungu atakuafu. upone haraka.
ReplyDelete