“Mimi nilichozingatia hadi kushawishi uongozi kumuomba kocha Hans van Pluijm arudi mimi kama mdau wa Yanga na mwanamichezo niliona timu ipo kwenye mashindano, lakini ina takwimu nzuri tangu mwalimu amekuja timu imechukua Ubingwa mara mbili mfululizo, tangu aje mwaka jana timu ilishinda vikombe vyote kuanzia Ngao ya Hisani”
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment