Kampuni hiyo pamoja na mali nyingine, inamiliki mabasi ya Mohamed Trans yanayofanya safari zake kwenye mikoa mbalimbali.
Mnada huo utafanyika tarehe 4/11/2016.
Mnada huo utaendeshwa na Kampuni ya udalali ijulikanayo kama Sukah Security Company Limited Auction Mart & Court Broker.
Mnada huo utafanyika mkoani Shinyanga katika Yard ya Mohamed Trans.
MY TAKE: Ni mwendo wa kuisoma namba. Watu walishazoea vya kunyonga!
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment