Waziri huyo ameyasema hayo katika ziara ya kiserikali ya siku 3 katika mikoa ya Mbeya na Songwe ambapo aliweza kutembelea ofisi ya msajili wa vizazi na vifo ambapo aliitaka ofisi hiyo na nyingine kuongeza kasi ya kusajili vizazi kwa watoto chini ya umri wa miaka 5 ili kuiondolea Tanzania aibu.
“Kumekuwepo na watumishi wa mahakama ambao walikuwa wakikabiliwa na tuhuma za rushwa mahakamani, ambapo kati ya watumishi 30 wamekutwa na hatia na kufukuzwa kazi huku mahakimu wengine 28 wakishinda kesi zao. Lakini hawastahili kurejeshwa kazini waendelee kutoa haki kwa kuwa wananchi hawatakuwa na imani nao,” alisema Mwakyembe.
BY: EMMY MWAIPOPO
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment