‘Ninyi watu wa ardhi ndio maana mnaona viongozi kama vichaa vile, hivi ujanja mtaacha lini? mzee kama huyo tangu mmvunjie 1988 miaka yote hiyo mpaka leo mzee wa watu bado ana maumivu kwenye moyo wake, mnasema mzee leta vithibitisho, mnamtengeneza mahali ambapo hawezi kuwa na nyaraka mnazozitaka ninyi ili ashindwe, mnajua katika watu ambao hamtaingia mbinguni ni watu wa ardhi’- RC Makonda
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment