Ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya miaka 70 ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia watoto (UNICEF).
“Msichana akielimika utamlinda na mimba za utotoni, ndoa za utotoni, maambukizi ya VVU na Ukimwi lakini pia hatakubali kufanyia vitendo vya ukatili. Lwahiyo bado sisi ambao tumepewa dhamana ya kusimamia maendeleo ya watoto hasa watoto wa kike tutaendelea kuwashawishi wenzetu serikalini tuhakikishe kuwa watoto wa kike wanaopata ujauzito waruhusiwe kuendelea na masomo,” alisema Mwalimu.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment