May 12, 2016

Viwango vya Gharama Daraja la Kigamboni ni Uhalifu Dhidi ya Ubinadamu

Ama kweli ukistaajabu ya watumishi hewa utayaona ya siasa za sukari Tanzania, Hakika nimestushwa na gharama ya huduma ama niite biashara ya daraja la kigamboni maarufu kama daraja la mzee Julius Nyerere,

Nimestushwa kwakuwa awali mamlaka zilituimbisha zile nyimbo tamu za matumaini ya unafuu wa maisha kwa wa kazi wa jiji kwakuwaondolea gharama kubwa kwenye pantoni na foleni na kisha kuwapa kilichoitwa "huduma" ya daraja.

Katika moja ya maamuzi ya mamlaka nikuwa waenda kwa miguu watapita bure, hilo ni jambo zuri, lakini ni ukweli kuwa kijiografia hakuna mwananchi atakayepita kwa miguu eneo hilo la daraja hasa mazingira yake ni hatarishi kwa wapita njia hasa nyakati za usiku. Yani ni umbali wakilomita moja isiyo na makazi wala shughuli za kibiashara ni vigumu mtu wa kawaida kupita kwa miguu eneo hilo.

Baskeli imepangwa kulipiwa 300 hii haina tofauti na ilivyo sasa kwenye pantoni
Pikipiki ni shilingi 600 hii inazidi 100 ukipita kwenye Panton ambako tulizoea kulipa 500.
Magari madogo mpaka pick up ni 1500 hadi 2000 sawa na sasa ukitumia Pantoni.

Daladala Hiace abiria 15 ni shilingi 3000, hii ni mara mbili na ilivyo kwenye pantoni ambako hulipia 1500/2000
Basi la abiria kuanzia watu 29 na kuendelea litalipiwa shilingi 7,000 (Haya ndio mabasi yaliyopewa vibali vya kutoa HUDUMA ya kusafirisha umma kupitia daraja hilo.

Sasa ndugu zangu naomba twende katika namba ili tujue daraja hili ni HUDUMA au ni BIASHARA?

Basi la abiria mfano UDA linabeba watu 40, hivyo daraja 7000 ÷ 40= Abiria 15..

Hivyo katika kila basi litakalovuka hapo abiria wake 15 watalipia daraja......

Mabasi ya Feri Kariakoo/Machinga Complex kwa siku yanafanya safari kumi.

Hivyo kila basi la abiria kwa siku liyavuka mara kumi kwenye daraja na litalipa 7000 × 10= 70000

Hesabu ya mabasi ya hayo kwa tajiri kila siku ni 120,000... Jiulize kwa siku basi hilo litapatafaida gani kwa kuhudumia wananchi wa kigamboni kupitia daraja hilo?

Binafsi nilitaraji huduma hii ya uvushaji watu kwa mabasi yote yaliyosajiriwa iwe bure kama ilivyo bure kwa waenda kwa miguu, ama iwe uchangiaji kidogo usiozidi angalau elfu moja (1,000/=) ili kusaidia uokozi dhidhi ya adha hii ya usafiri kwa wanadarisalamu.

Ni tajiri gani atakaepeleka gari yake katika eneo ambalo atafanya kazi ya kuilipa serikali tu bila kupata faida?

Matokeo yake hapa ni kuwa tutaraji ukosefu ama uhaba wa mabasi toka Feri hadi katikati ya jiji na viunga vyake yanayotumia daraja hilo.

Hii ni hujuma dhidi ya wananchi wa Kigamboni na wakazi wa jiji ambao ndio watumiaji wakuu wa daraja hilo kwa njia ya mabasi.

Serikali ishirikiane na wadau wote wa usafurishaji na watumiaji katika kuweka viwango vya gharama za "huduma" hii kwakuwa sio biashara kama inavyotafsiriwa sasa.

By Yericko Nyerere

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger