Najiuliza ACT imewaandikia barua kushirikiana katika suala hilo kuwafikia wananchi lakini hadi hivi leo ACT inazindua operation yake pale Dar UKAWA hawajajibu barua na badala yake wameanzisha ya kwao itakayoanza tarehe 7 juni.
1: Je mlisubiri hadi ACT wabuni operation na nyie mkop? hii ni dalili ya kuishiwa pumzi
2: Je kwanini msipande jukwaa moja na Zitto? mnaogopa nini kwa zitto?
3: Je kwanini msiunde nae hizo team au mngetuma wawakilishi kwenye mikutano ya Zitto ili tujue mu wamoja? Hii ni vita mnayoanza wenyewe lakini sioni kama mtashinda dhidi ya muha huyu.
Mtizamo wangu:
Population ya mkutano wa Zitto pekee itakuwa ni sawa na popolation ya mbowe+lowasa+sumaye. hivyo itadhihirisha Zitto mshindi.
Mnampa kiki Zitto wenyewe bila kujua na mnajichimbia kaburi.Kama fitina mlishindwa mwaka jana saizi zitto anaizika rasmi CHADEMA.
mtatuletea picha na video zenu lakini tukicompare na zitto.CHADEMA chaliii
Zitto wazike hao mana hakuna namna.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment