Aug 7, 2016

Mtazamo wa Jerry Muro Kuhusu Manji Kupewa Timu ya Yanga

Msemaji wa Yanga Jerry Muro
Ndugu zangu kabla ya kuanza kutoa comment napenda sana tujue historia ya uendeshaji wa club na mpaka hapa club ilipofika kisha ndio tuje kwenye hoja ya msingi.

Kwa kifupi club imekuwa haitengenezi faida katika uendeshaji na hii inatokana na mfumo ulioasisiwa miaka ya nyuma ya uendeshaji wa club.

Tumekuwa na wanachama na mashabiki ambao kwa kiasi kikubwa hawajaweza kuisaidia timu katika uendeshaji. Club kwa muda wa miaka 4 imetegemea nguvu ya upande mmoja wa Mwenyekiti katika kulipa mishahara na kujiendesha.

Unaweza kuuliza kwa nini mtu mmoja, hili ni suala mtambuka sana kwa sababu hakuna makampuni yanayotaka kuwekeza kwenye soka la ubabaishaji hakuna mazingira mazuri ya kuvutia uwekezaji na hata hawa wachache wanaowekeza mikataba yao ni ya kinyonyaji sana.

Kutokana na sababu hizo chache na pressure za mashabiki kutaka matokeo mazuri bila kuangalia miundombinu mingine ya kuwezesha matokeo mazuri mfano uwekezaji wanachama wamekuwa wanataka matokeo mazuri jambo linalosababisha mtu mmoja aliyeko madarakani kutumia nguvu kubwa kupata ushindi na hapa ndipo tulipofika sasa.

Nirudi kwenye hoja ya msingi, kutokana na uhitaji wa timu kutaka kufanya vizuri pasipo kuwepo na mipango mizuri ya muda mrefu ambayo inasabishwa na aina ya upatikanaji wa viongozi imefanya kila kiongozi anaeingia madarakani aingie na mipango ya muda mfupi tu maanayake uhakika wa kukaa madarakani unakuwa mdogo kutokana na pressure za wanachama.

Sasa Manji kaamua kuja na mfumo ambao kwanza utamuwezeshaji kuja na mipango ya muda mrefu yenye uhakika wa kutekelezwa kutokana na kulindwa na makubaliano hivyo kama ni kuwekeza atawekeza vizuri kwa kuwa anajua yuko assured na fedha atakazoweka.

Hii itasaidia Yanga kwanza kupata matokeo mazuri ya uwanjani lakini pia kuwa na uwekezaji endelevu mfano kwenye bidhaa za Yanga ambazo zinauzwa bila club kunufaika lakini pia ameondoa mzigo mkubwa wa madeni ya Yanga ambayo yalikuwa yanaikumba timu mfano gharama za mishahara kambi vitendea kazi hivyo vita kuwa juu ya Manji na kubwa ni kuwa Yanga ikianza kutengeneza faidi itakuwa inapata asilimia 25 ya faida na inapotokea hasara anabeba Manji mwenyewe.

Kwa maoni yangu mimi Jerry Muro nadhani kwa sasa ni hatua nzuri ya kuanza najua kuna changamoto zitajitokeza lakini lazima tukubali kuanza mahali kwanza kisha twende mbele mana hakuna modal nyingine nzuri ambayo imejitokeza kwa sasa zaidi ya ile ya Simba ya uwekezaji na hii yetu ukiangalia kwa jicho la ndani zaidi uwekezaji wa Mo na hii ya Manji hauna tofauti kubwa sana sema huu wa kwetu tunabaki na asset zetu wenyewe na club yetu wenyewe tofauti na wale wenzetu ambao wanatoa mpaka rasilimali zao.

Sisi tunaweza pia kuwekeza kwenye majengo yetu na asset zetu nje ya mkataba wa Manji mana yeye anataka timu management na brand management na sio club assets, tukitazama mifumo ya uendeshaji wa vilabu vikubwa vya Ulaya ni kama huu wa Manji maanayake utaona mwarabu katoka Uarabuni kaenda England kachukua Manchester City yeye hajachukua majengo wala assets kachukua management tu na brand ya Man City.

TUTAFAKARI KWA KINA NA KAMA TUNA MAWAZO MBADALA TUYATOE NA SIYO KUPINGA BILA KUTOA SULUHISHO KAMA HUU NI MBAYA TUENDE NA MFUMO GANI?

Ni mawazo yangu mimi binafsi niko tayari kukosolewa na kupingwa kwa hoja.

Jerry Cornel Muro

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger