“Kuna orodha nimeiandaa ya watoro katika kamati, lakini kwa leo sitawataja hapa kwa sababu nimeona tuendelee kuwafuatilia katika vikao vijavyo, kama hawatabadilika nitawaambia waajiri wao, yaani wabunge watoro nitawasema kwa wananchi wao na kwa viongozi wa vyama vyao na kwa mawaziri watoro, nitamwaambia namba moja, kwamba mawaziri hawa hawawajibiki ipasavyo,” alionya Ndungai.
Alisisitiza kutotania katika suala hilo na kuongeza kuwa mahudhurio katika Mkutano wa Tano wa Bunge la 11 unaotarajiwa kuanza Novemba Mosi mwaka huu, ndio kitakakuwa kipimo chao cha mwisho.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment