Profesa Makame Mbarawa |
Akizungumza leo na waandishi wa habari Mbarawa alisema Serikali hairidhishwi na utendaji wa shirika hilo katika kutoa huduma kwa sasa ndio sababu ya kuundwa kwa bodi hiyo.
"Matatizo ya shirika sio ndege tu ndio maana tumeanza na kubadili uongozi wa juu na kununua ndege mbili ili kuhakikisha kuhakikisha shirika hilo linaanza kwa upyakatika kuhudumia wananchi" amesema.
Ameitaka bodi hiyo kuhakikishaina fanya kazi kwa umakini na kudhibiti aina yoyote ya ubadhirifu na upotevu wa mapato.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment