Washindi wote ni wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwani awali Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilisusia uchaguzi huo kwa madai kuwa CCM imeongeza wajumbe wa kupiga kura kinyemela na hivyo mgombea wao kupa kura 0.
Uchaguzi wa Manispaa hiyo umefanyika tena baada ya manispaa hiyo kugawanywa na kuunda manispaa mbili kufuatia kuundwa kwa Wilaya mpya wa Ubungo.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment