Ni kwasababu alijikuta akizomewa vikali Alhamis hii baada ya kuwaambia watu watu waliokuwa wamehudhuria show yake kuwa angempigia kura Donald Trump.
“I told you all I didn’t vote right? … But if I were to have voted, I would have voted for Trump,” alisema kwenye show yake ya San Jose, California.
“This is about the idea of a black guy liking Trump. They thought they had me because … just because I was black or just because I was a celebrity. But Trump is our president. And that would’ve been my vote, so I feel right, ” aliongeza.
Maneno hayo yaliwakera watu wengi waliomzomea. Yeezy amedai kuwa atawania urais wa Marekani mwaka 2020.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment