Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amemuweka ndani Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Gongo la Mboto papo hapo baada ya kutuhumiwa kutoitisha vikao vya mapato na matumizi, hata baada ya kujitetea.
Aidha Mkuu huyo wa Mkoa aamuru M/kiti Mtaa wa Gongo la Mboto akamatwe baada ya kutuhumiwa hadharani kutengeneza risiti feki.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
0 [disqus]:
Post a Comment