Katibu mwenezi mpya wa CCM aliyevaa viatu vya Nape, Humphrey Polepole amesema bado anasimamia msimamo wake alioutoa wakati wa bunge la katiba, kuwa Tanzania inahitaji muundo wa serikali tatu.
Msimamo huu unaonekana kwenda kinyume na msimamo wa chama chake.
Source: Mtanzania, Jambo Leo.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
0 [disqus]:
Post a Comment